Mmoja wa Wakazi wa Buchosa Wilaya ya Sengerema akipanda boti kwa shida,kama alivyonaswa na mpiga picha wa Globu ya Jamii mapema leo,akitumia ngazi kutokana na kutokuwepo kwa gati ya kupaki boti hizo ambazo zimekuwa zikisaidia suala la usafiri ndani ya ziwa victoria,hata hivyo Serikali kupitia Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA), imejenga gati ya kisasa katika eneo hilo ili kuondoa adha hiyo inayowakumba wakazi wa maeneo hayo.
from MICHUZI BLOG http://bit.ly/2KxZng2
via




