BREAKING NEWS:MAHAKAMA YABARIKI UWENYEKITI WA PROFESA LIPUMBA

7 years ago85 Views

Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam imekubaliana na uamuzi wa Msajili wa Vyama vya Siasa wa kumtambua Profesa Ibrahimu Lipumba  kuwa Mwenyekiti halali wa Chama cha Wananchi CUF.

Aidha imetupilia mbali maombi yaliyofunguliwa na  Maalimu Seif  Sharifu Hamad aliyeomba mahakama kutoa amri ya kubatilisha barua ya Msajili wa Vyama ya kumtambua Profesa Lipumba kuwa Mwenyekiti wa chama hicho.

from MICHUZI BLOG https://ift.tt/2T9Gxwo
via

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Mchanganyiko

Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.