Boka Aipambania Yanga Akiwa na Msiba wa Baba yake

Admin Updates4 months ago6 Views

 

Kwa mujibu wa taarifa ya klabu ya Yanga, mchezaji Chadrack Boka aliutumikia mchezo muhimu wa Jana wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Al Hilal akiwa na msiba wa baba yake mzazi uliotokea juzi Januari 11, 2024 huko Kinshasa, DR Congo.
Yanga katika mchezo wa Jana ilihitaji alama tatu ili izidi kujiweka katika nafasi nzuri zaidi ya kuweza kufika hatua ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa ambapo kama wakifanikiwa kushinda mchezo wao wa Mwisho dhidi MC Alger watakuwa wamefuzu hatua hiyo.
Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K

Stay Informed With the Latest & Most Important News

I consent to receive newsletter via email. For further information, please review our Privacy Policy

Categories
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.