ni mtayarishaji wa music mkongwe na mwenye mafanikia makubwa kwenye
upande wa Bongo Flava. Paula japokuwa bado yupo shule lakini maisha yake
ya kuwa karibu sana na mama yake kwa ujumla yanamfanya ajuane na
ajulikane sio tu mastaa wengi bali hadi kwa jamii kwa ujumla…..Tunaamini
huyu nae atakuwa staa wa kesho