
Watumishi mbalimbali kutoka Wizara na taasisi zake zilizopo katika mji wa Serikali Mtumba jijini Dodoma ambao ni wateja wa Airtel wakisajili laini zao kwa alama za vidole jana. Airtel inaendelea na usajili huo pia katika maduka yake zaidi ya 650 nchini. (Picha na Airtel).



Watumishi mbalimbali kutoka Wizara na taasisi zake zilizopo katika mji wa Serikali Mtumba jijini Dodoma ambao ni wateja wa Airtel wakisajili laini zao kwa alama za vidole jana. Airtel inaendelea na usajili huo pia katika maduka yake zaidi ya 650 nchini. (Picha na Airtel).
from MICHUZI BLOG http://bit.ly/2WN4Vqi
via
