Diamond Platnumz Afunguka asema “Siachi Mpaka Waombe Poo, Ndo Kwa Kwanza Tumeanza”

Admin Updates1 year ago6 Views

 

Msanii @diamondplatnumz aliwahi kusema “Siachi pengo mpaka waombe poo” kwenye moja ya line kupitia freestyle ya ‘All The Way Up’ wimbo wa French Montana.

Sasa hiki ndicho kinaenda kutokea baada ya kusema kuwa nyimbo zitaendelea kutoka back to back mpaka mashabiki wenyewe wasema inatosha.
Tamko lake hilo limeambatana na shukrani zake kwa mashabiki ambao wanampa nguvu ya kuendelea kuibeba Tanzania mabegani kupitia muziki.
“Ahsante kwa upendo, kama ambavyo nilisema, ndio kwanza tumeanza. Ni Mvua ya Mawe hadi kuhakikisha mashabiki wenyewe mnasema jamani inatosha”.
Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K

Stay Informed With the Latest & Most Important News

I consent to receive newsletter via email. For further information, please review our Privacy Policy

Categories
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.