Mchezaji Jean Baleke Atupia la 7, Awafikia Aziz Ki na Max

Admin Updates1 year ago4 Views

 Mshambuliaji wa Simba SC, Jean Baleke amefunga goli lake la 7 katika msimu huu wa Ligi Kuu ya NBC katika mechi dhidi ya Namungo FC na kuwafikia nyota wa Yanga SC, Aziz KI na Max Nzengeli ambao wana idadi hiyo ya magoli.

Hiyo ni baada ya Ligi Kuu ya NBC msimu wa 2023-24 kufikia raundi ya tisa lakini Simba akiwa na kiporo kimoja mkononi, mechi dhidi ya Mashujaa FC.

Simba mpaka sasa, wapo kwenye nafasi ya tatu kwenye msimamo wakiwa na alama zao 19 nyuma ya Azam FC wenye alama 19 wakiwa juu kwa tofauti ya magoli ya kufunga na kufungwa huku nafasi ya kwanza ikishikiliwa na Yanga SC wenye alama 24

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K

Stay Informed With the Latest & Most Important News

I consent to receive newsletter via email. For further information, please review our Privacy Policy

Categories
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.