BUNDESLIGA: Harry Kane Anazidi Kupendeza, Afikisha Magoli 17

Admin Updates1 year ago6 Views

 

traika wa #BayernMunich, #HarryKane ameendelea kuwa na mwanzo mzuri katika klabu yake mpya baada ya kufikisha magoli 17 katika Ligi Kuu ya Ujerumani (#Bundesliga) ndani ya michezo 11 Msimu wa 2023/24 na kuwa mchezaji wa kwanza kufunga magoli mengi ndani ya muda mfupi katika ligi hiyo

Amefikisha idadi hiyo kwa kufunga magoli mawili katika ushindi wa magoli 4-2 dhidi ya #Heidenheim, Novemba 11, 2023 wakati takwimu zake katika michuano yote amefikisha magoli 21 aliyofunga

Kane ameipita rekodi iliyowekwa na #RobertLewandowski aliyefunga magoli 16 katika mechi 11 Mwaka 2019 akiwa Bayern

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K

Stay Informed With the Latest & Most Important News

I consent to receive newsletter via email. For further information, please review our Privacy Policy

Categories
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.