WAKATI
tukiwa tunakaribia kumaliza mwaka 2014, msanii wa filamu Ruth Suka
‘Mainda’, amedai kuwa hakuna jambo ambalo mastaa wa Bongo wamelifanya
zaidi ya kuchuma dhambi na kutumia muda mwingi kupigana majungu kuliko
kumcha Mungu kwa matendo mema.
Akizungumza na gazeti la Uwazi, Mainda alisema kuwa ndani ya tasnia ya
filamu bado mambo ni magumu kwani mastaa wengi wamekuwa nyuma na matendo
ya Mungu kwa kufanya anasa kila kukicha huku wengine wakizidi
kuchafuana kwa kupigana majungu.
“Ni kweli mwaka umeisha lakini lazima
tujue wapi tumekosea, lakini wasanii wetu hawana roho ya kuamini kuwa
Mungu yupo ndiyo maana wanapigana majungu kila kukicha.
Tangu kifo cha kipenzi Kanumba kutokea
nilisemwa sana na baadhi ya wasanii wakidai kuwa siwezi kuwika tena
lakini wanasahau kuwa niko bize na kazi ya Mungu na si kupiga majungu au
kukaa kijiweni kumsema mtu,” alisema Mainda.
tukiwa tunakaribia kumaliza mwaka 2014, msanii wa filamu Ruth Suka
‘Mainda’, amedai kuwa hakuna jambo ambalo mastaa wa Bongo wamelifanya
zaidi ya kuchuma dhambi na kutumia muda mwingi kupigana majungu kuliko
kumcha Mungu kwa matendo mema.
Akizungumza na gazeti la Uwazi, Mainda alisema kuwa ndani ya tasnia ya
filamu bado mambo ni magumu kwani mastaa wengi wamekuwa nyuma na matendo
ya Mungu kwa kufanya anasa kila kukicha huku wengine wakizidi
kuchafuana kwa kupigana majungu.
“Ni kweli mwaka umeisha lakini lazima
tujue wapi tumekosea, lakini wasanii wetu hawana roho ya kuamini kuwa
Mungu yupo ndiyo maana wanapigana majungu kila kukicha.
Tangu kifo cha kipenzi Kanumba kutokea
nilisemwa sana na baadhi ya wasanii wakidai kuwa siwezi kuwika tena
lakini wanasahau kuwa niko bize na kazi ya Mungu na si kupiga majungu au
kukaa kijiweni kumsema mtu,” alisema Mainda.
Recommended Products
-
2025 Summer Rapper Feid Ferxxo Men’s Cotton Fashion Hip-hop T-shirt Casual and Comfortable Short-sleeved T-shirt Street Wear
Affliate products $22.00 -
3 IN 1 Magnetic Folding Wireless Charger Station For IPhone Transparent Fast Charging For IWatch And Airpods
Affliate products -
Grandpa Of Love hoodies Human French Letters Dad Papa Papy Gift Men Clothing hoodies
Affliate products $22.00 -
Sale!
Lenovo D18 Drone 8K Aerial HD Dual-Camera Intelligent Obstacle Avoidance Brushless Power 5G WIFI Screen Remote Control GPS Drone
Affliate products Original price was: $7.99.$7.89Current price is: $7.89. -
Mini Portable Face Cordless Shavers Rechargeable USB Electric Shaver Wet & Dry Painless Small Size Machine Shaving For Men
Affliate products $44.00 -
New Original T75 Bone Conduction Wireless Bluetooth 5.3 Headphones Sports Earphones HiFi Sound Quality Waterproof TWS Headset
Affliate products $3.33







