Nimekuwa kwenye uhusiano na mpenzi wa roho yangu kwa takriban miaka mitatu.
Kwa kipindi chote hicho tumekuwa tukiishi mikoa tofauti. Yeye anafanya kazi Babati na mimi nafanya kazi Dodoma.
Licha
ya umbali uliopo tumeishi kwa upendo na kuaminiana na hata ndugu na
wazazi wanajua kuhusu uhusiano wetu tukitarajia kuja kufunga ndoa
baadae.
Siku
za karibuni amekuwa akisisitiza sana nikatoe mahali kwao nami nikawa
namuambia sawa tutafanya hivyo na nimemueleza sababu ya kuchelewa ni
matatizo ya kifamilia yanayonikabili.
Ghafla wiki iliyopita alikata mawasiliano na hataki pokea simu yangu wala kujibu sms.
jana
nimekaa nawaza akanitumia sms kuwa nadhani nishaamua kama namhitaji
niende kwao Marangu kabla ya tar 29 mwezi huu vinginevyo simuhitaji.
Kweli
nimeishiwa nguvu kwa kuwa sidhani kama kwenda kwao kwa kuforce kwa
deadline ni vyema. Anajua kuwa nampenda sana lakini sasa hakuna my love
wala sweet.. Ni mwendo wa hey na hello yan full ubabe. Nishaurini wakuu
maana natarajia kwenda lakini kwa sasa sijajipanga kusema kweli
Recommended Products
-
2025 Summer Rapper Feid Ferxxo Men’s Cotton Fashion Hip-hop T-shirt Casual and Comfortable Short-sleeved T-shirt Street Wear
Affliate products $22.00 -
3 IN 1 Magnetic Folding Wireless Charger Station For IPhone Transparent Fast Charging For IWatch And Airpods
Affliate products -
Grandpa Of Love hoodies Human French Letters Dad Papa Papy Gift Men Clothing hoodies
Affliate products $22.00 -
Sale!
Lenovo D18 Drone 8K Aerial HD Dual-Camera Intelligent Obstacle Avoidance Brushless Power 5G WIFI Screen Remote Control GPS Drone
Affliate products Original price was: $7.99.$7.89Current price is: $7.89. -
Mini Portable Face Cordless Shavers Rechargeable USB Electric Shaver Wet & Dry Painless Small Size Machine Shaving For Men
Affliate products $44.00 -
New Original T75 Bone Conduction Wireless Bluetooth 5.3 Headphones Sports Earphones HiFi Sound Quality Waterproof TWS Headset
Affliate products $3.33







