KANISA KATOLIKI LAMTIMUA ASKOFU MAARUFU DUNIANI..NI HUYU HAPA

10 years ago141 Views

Askofu Olaf Charamsa
Siku moja kabla mkutano wa Vatikani wa maaskofu wa kanisa Katoliki kuhusu familia, kasisi mmoja wa daraja ya juu, amedhihirisha kuwa yeye ni kati ya watu wanaopendelea uhusiano wa jinsia moja, na sasa ana mpenzi.
Msemaji wa Vatikani, alisema Kryzsztov Olaf Charamsa ambaye anatoka Poland, hawezi tena kuwa katika ofisi ya Vatikani inayotetea itikadi ya Kikatoliki.
Papa Charamsa alisema msimamo wa Kanisa hilo kuhusu jamii ya jinsia moja ni wa kizamani.
Alisema, kanisa linafaa kutambua maingiliano ya jinsia moja, na siyo kuyalaani.
Mshirikishe mwenzako Unavyoweza kumshirikisha mwenzako  
CHANZO : BBC SWAHILI
Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Mchanganyiko

Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.