MSANII MO MUSIC ATAJA SABABU ZA YEYE KUWA SINGLE

9 years ago93 Views

Mo Music anadai bado yupo single na tayari kumingle.
Mkali huyo kutoka Rock City, kupitia kipindi cha Power Point cha Kings Fm,ameweka wazi sababu ya yeye kutokuwa kwenye mahusiano.

“Wengi wanakupenda kama Mo Music na sio mimi kama mimi. Wanawake wengi sasa hivi wanaangalia watu wenye kitu,lakini ingawa sio wote ila asilimia kubwa,” amesema Mo Music.
Mo Music aliyeanza kufanya vizuri kupitia ngoma yake ya Basi Nenda, kwa sasa ana wimbo uitwao Ado Ado alioutoa mwaka jana.
Na Prince Ramalove

Kings Fm

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Mchanganyiko

Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.