Sasa Tiffah wa Diamond na Zari Atajwa Kuwakalisha Chini Watoto wa Mastaa Duniani

7 years ago99 Views

WAKATI baadhi ya wasanii wakubwa tu Bongo wakishindwa kufikisha wafuasi laki tano katika Mtandao wa Instagram, mtoto wa staa wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz, Tiffah ameendelea kuwakimbiza watoto wa mastaa wakubwa Marekani.

Miongoni mwa watoto hao ni pamoja na mtoto wa mwanamitindo kutoka Marekani, Kim Kardashian na mumewe Kanye West:


North West (north. west_) ana miaka mitano, wafuasi 278,000., Saint West (itssaintwest) mwenye umri wa miaka miwili, ana wafuasi 56,000.,Chicago West (chicago. west_) mwenye miezi minne, ana wafuasi 41,000 na ushee.,Mbali na watoto hao wa Kim na Kanye, watoto wengine wanao-kimbi-zwa na Zari ni pam-oja na, Royalty Brown wa mwanamuziki Chris Brown (missroya-ltybrown) mwenye wafuasi 213,000


Watoto wa Beyonce;Blue Ivy (blueivy. carter) mwenye miaka sita, ana wafuasi 145,000.


Mtoto wa Wiz Khalifa;Sebastian Taylor Thomas (sebastian. taylor) mwenye umri wa miaka mitano, ana wafausi 6,477




Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Mchanganyiko

Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.