
Kocha Mwinyi Zahera akiwa na wachezaji wa Yanga.
Kocha wa Yanga Mwinyi Zahera baada ya mchezo wa jana dhidi ya KMC ambapo Yanga ilishinda mabao 2-1, ameaga kuwa anaondoka nchini kuelekea kwao DR Congo.
Zahera anakwenda DR Congo kwaajili ya majukumu ya timu ya taifa ambayo yeye ni kocha msaidizi huku akisisitiza kuwa taifa lake lina mchezo mgumu sana dhidi ya Liberia kuwania kufuzu AFCON 2019.
”Naenda Congo, tupo na mechi ngumu sana, nisiulizwe chochote kuhusu Simba au Yanga nawaachia namba ya kocha msaidizi Noel Mwadila mtamuuliza yote mimi sitamjibu hata mtu mmoja”, amesema.
Zahera anaondoka nchini kesho Jumanne Machi 3, 2019, lakini hajaweka wazi kama anaondoka na mshambuliaji Heritier Makambo ambaye alitajwa katika kikosi cha wachezaji 40 wa awali kuelekea mchezo huo.
DR Congo ipo kundi G ambalo linaongozwa na Zimbabwe yenye pointi 8, Liberia yenye pointi 7 huku DR Congo wakiwa na pointi 6 wakati Congo Brazzaville wakiwa na pointi 5.
from MALUNDE 1 BLOG https://ift.tt/2u1DFaO
via
Recommended Products
-
2025 Summer Rapper Feid Ferxxo Men’s Cotton Fashion Hip-hop T-shirt Casual and Comfortable Short-sleeved T-shirt Street Wear
Affliate products $22.00 -
3 IN 1 Magnetic Folding Wireless Charger Station For IPhone Transparent Fast Charging For IWatch And Airpods
Affliate products -
Grandpa Of Love hoodies Human French Letters Dad Papa Papy Gift Men Clothing hoodies
Affliate products $22.00 -
Sale!
Lenovo D18 Drone 8K Aerial HD Dual-Camera Intelligent Obstacle Avoidance Brushless Power 5G WIFI Screen Remote Control GPS Drone
Affliate products Original price was: $7.99.$7.89Current price is: $7.89. -
Mini Portable Face Cordless Shavers Rechargeable USB Electric Shaver Wet & Dry Painless Small Size Machine Shaving For Men
Affliate products $44.00 -
New Original T75 Bone Conduction Wireless Bluetooth 5.3 Headphones Sports Earphones HiFi Sound Quality Waterproof TWS Headset
Affliate products $3.33





