Waziri Jerry Silaa Achangia Milioni 44 Ujenzi wa Kanisa Katoliki

Admin Updates1 year ago6 Views

 

Mbunge wa jimbo la Ukonga na waziri wa Ardhi nyumba na maendeleo ya Makazi Mhe.Jerry Silaa kupitia wadau wake mbali mbali amechangia kiasi cha shilingi milioni 44.8 kwa ajili ya ujenzi wa Parokia katika jimbo ka Ukonga.

Silaa amekabidhi kiasi hicho kwa Waziri Mkuu wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania Mhe.Kasim Majaliwa pamoja na Mkuu wa Wilaya ya Ilala Mhe.Edward Mpogolo mara baada mbio za hisani kwa ajili ya kuchangia ujenzi wa kanisa Parokia ya Pugu.

0 Votes: 0 Upvotes, 0 Downvotes (0 Points)

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K

Stay Informed With the Latest & Most Important News

I consent to receive newsletter via email. For further information, please review our Privacy Policy

Categories
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.