Vijana Kuweni Makini na Mitandao Ya Kijamii”- Shamsa Ford

7 years ago103 Views

Vijana Kuweni Makini na Mitandao Ya Kijamii”- Shamsa Ford

Muigizaji wa Bongo movie Shamsa Ford ameibuka na kuwapa ushauri vijana wanaotumia mitandao ya kijamii ambapo amesema wanatakiwa kuwa Makini.

Shamsa Ford amewataka vijana kuwa Makini na Mitandao ya kijamii kwani endapo wakitumia vizuri basi itawajenga Lakini pia wakiitumia vibaya basi itawabomoa.

Lakini pia Shamsa amewataka vijana wasiige sana maisha ya mastaa mitandaoni kwani wengi wao hawaishi maisha yao halisi bali wanafeki ili waonekane wako juu mbele ya jamii.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Shamsa Ford aliandika maneno haya:

from UDAKU SPECIAL BLOG http://bit.ly/2TuNgl4
via

0 Votes: 0 Upvotes, 0 Downvotes (0 Points)

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Mchanganyiko

Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.