VIDEO: 25 Wafukiwa na Kifusi Shinyanga
Watu 25 wamefukiwa na kifusi katika mgodi mdogo wa dhahabu unaomilikiwa na Kikundi cha Wachapakazi, uliopo Kijiji cha Mwongozo, Kata ya Mwenge, Halmashauri ya Shinyanga, mkoani Shinyanga, baada ya mgodi huo kutitia wakati wa zoezi la ukarabati wa maduara.
Tukio hilo limetokea majira ya asubuhi ya Agosti 11, 2025, ambapo wahanga walikuwa wakifanya matengenezo katika mashimo matatu tofauti:
Duara namba 106 — watu 6
Duara namba 103 — watu 11
Duara namba 20 — watu 8
Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Wilaya na Mkoa wa Shinyanga imefika eneo la tukio kutoa pole na kushiriki katika zoezi la uokoaji, likiwa chini ya usimamizi wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji kwa kushirikiana na wachimbaji wa mgodi huo.
Taarifa za awali zinaonyesha kuwa chanzo cha ajali hiyo ni kutitia kwa ardhi wakati shughuli za ukarabati zikiendelea. Hadi sasa, watu saba kati ya 25 wameokolewa wakiwa hai, huku jitihada za kuwaokoa waliobaki zikiendelea kwa nguvu zote.
Recommended Products
-
2025 Summer Rapper Feid Ferxxo Men’s Cotton Fashion Hip-hop T-shirt Casual and Comfortable Short-sleeved T-shirt Street Wear
Affliate products $22.00 -
3 IN 1 Magnetic Folding Wireless Charger Station For IPhone Transparent Fast Charging For IWatch And Airpods
Affliate products -
Grandpa Of Love hoodies Human French Letters Dad Papa Papy Gift Men Clothing hoodies
Affliate products $22.00 -
Sale!
Lenovo D18 Drone 8K Aerial HD Dual-Camera Intelligent Obstacle Avoidance Brushless Power 5G WIFI Screen Remote Control GPS Drone
Affliate products Original price was: $7.99.$7.89Current price is: $7.89. -
Mini Portable Face Cordless Shavers Rechargeable USB Electric Shaver Wet & Dry Painless Small Size Machine Shaving For Men
Affliate products $44.00 -
New Original T75 Bone Conduction Wireless Bluetooth 5.3 Headphones Sports Earphones HiFi Sound Quality Waterproof TWS Headset
Affliate products $3.33






