
Hakuna anaetarajia maumivu mara tu anapoanzisha mahusiano ya kimapenzi , badala yake tunatarajia furaha lakini ajabu waliowengi wanajikuta wanakutana na maumivu makali ya moyo hata kujikuta wanayachukia mapenzi na kujichukia wenyewe wakijiona hawafai.
KWANINI UYACHUKIE MAPENZI SABABU MTU MMOJA PEKE YAKE?
najua jinsi ulivyokuwa umeuwekeza moyo wako kwake , na ni jinsi gani inavyouma ukivujwa moyo na mtu uliyempenda sana .
lakini kosa lake halimaanishi kwamba watu wote wa jinsia yake wanatabia kama zake , hata kama umekutana na wengi wa aina hiyo na wote wakakuumiza moyo kama alivyofanya yeye bado hautakiwi kuvunjika moyo wala kuyachukia mapenzi.
kumpata anaekupenda kwa dhati ni kazi na mungu pekee ndio anajua ni yupi hasa mwenye mapenzi ya kweli.
na lazima atakufikia siku moja na atasema inatosha , kamwe hatoruhusu chozi lisilo la furaha lidondoke kwenye mashavu yako.
lakini unahitaji kuomba mungu.
Recommended Products
-
2025 Summer Rapper Feid Ferxxo Men’s Cotton Fashion Hip-hop T-shirt Casual and Comfortable Short-sleeved T-shirt Street Wear
Affliate products $22.00 -
3 IN 1 Magnetic Folding Wireless Charger Station For IPhone Transparent Fast Charging For IWatch And Airpods
Affliate products -
Grandpa Of Love hoodies Human French Letters Dad Papa Papy Gift Men Clothing hoodies
Affliate products $22.00 -
Sale!
Lenovo D18 Drone 8K Aerial HD Dual-Camera Intelligent Obstacle Avoidance Brushless Power 5G WIFI Screen Remote Control GPS Drone
Affliate products Original price was: $7.99.$7.89Current price is: $7.89. -
Mini Portable Face Cordless Shavers Rechargeable USB Electric Shaver Wet & Dry Painless Small Size Machine Shaving For Men
Affliate products $44.00 -
New Original T75 Bone Conduction Wireless Bluetooth 5.3 Headphones Sports Earphones HiFi Sound Quality Waterproof TWS Headset
Affliate products $3.33






