Uchaguzi wa Papa, Moshi Mweusi Waonekana, Bado Papa Hajachaguliwa Kwenye Round ya Kwanza

Admin Updates1 month ago40 Views

 Uchaguzi wa Papa, Moshi Mweusi Waonekana, Bado Papa Hajachaguliwa.....

Saa 3 usiku kwa saa za Roma, moshi mweusi ulipanda kutoka kwenye bomba la Sistine Chapel, kuashiria kuwa hakuna Papa mpya aliyechaguliwa kwenye siku ya kwanza ya #Conclave.

Muda mfupi kabla ya hapo, milango ya Sistine Chapel ilikuwa imefungwa kwa kauli ya jadi “Extra omnes” yaani, “Wote watoke” ikiashiria mwanzo wa mchakato wa upigaji kura wa siri.

Makardinali 133 wanaendelea na jukumu lao zito la kumchagua Papa wa 267 wa Kanisa Katoliki. Conclave itaendelea kesho asubuhi, saa 4:30 kwa saa za Roma, ambapo makardinali watakusanyika tena kupiga kura mpya. Dunia inaendelea kusubiri kwa hamu dalili ya moshi mweupe ishara ya Papa mpya.

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K

Stay Informed With the Latest & Most Important News

I consent to receive newsletter via email. For further information, please review our Privacy Policy

Categories
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.