Yao kouassi, maarufu kama jeshi alianza kupona lakini inaelezwa amepata majanga mengine eneo alioumia linaweza
kukaa njee kwa muda zaidi.
Yanga ina subiri repoti ya madaktari wa klabu ilikufahamu mchezaji huyo atakua nje kwa muda gani, lakini nyuma yake kuna hesabu mpya zina pigwa juu ya beki mmoja wakazi kutoka Tp mazembe DRCongo.
Endapo yao atashindwa kurudi licha ya kuonekana amacheza mpira mazoezini, Yanga ita mshusha beki Ibrahim Keita,raia wa Mauritania.
Mbali na Keita wapo nyota wengine kwenye rada za yanga Josaphet Auther kutoka (Singida black stars), Koimizo Maiga ( Asec meimosa, Douh Steve (Ken Gold) na Feisal Salum (Azam).
Pale Tp mazembe Keita amesha waaga maboss wa club ya team hiyo na kuwa gomea kuongeza mkataba ambao una malizika mwezi ujao huku yanga ma Kaizer chiefs inayo fundishwa na Nabi zikiwa zina mvizia huduma yake kwajili ya msimu ujao
Recommended Products
-
2025 Summer Rapper Feid Ferxxo Men’s Cotton Fashion Hip-hop T-shirt Casual and Comfortable Short-sleeved T-shirt Street Wear
Affliate products $22.00 -
3 IN 1 Magnetic Folding Wireless Charger Station For IPhone Transparent Fast Charging For IWatch And Airpods
Affliate products -
Grandpa Of Love hoodies Human French Letters Dad Papa Papy Gift Men Clothing hoodies
Affliate products $22.00 -
Sale!
Lenovo D18 Drone 8K Aerial HD Dual-Camera Intelligent Obstacle Avoidance Brushless Power 5G WIFI Screen Remote Control GPS Drone
Affliate products Original price was: $7.99.$7.89Current price is: $7.89. -
Mini Portable Face Cordless Shavers Rechargeable USB Electric Shaver Wet & Dry Painless Small Size Machine Shaving For Men
Affliate products $44.00 -
New Original T75 Bone Conduction Wireless Bluetooth 5.3 Headphones Sports Earphones HiFi Sound Quality Waterproof TWS Headset
Affliate products $3.33







