
Saa chache baada ya Msemaji wa Yanga Haji Manara kutangaza kurejea katika majukumu aliyokuwa anafanya awali Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limetoa baraka zote.
Manara jana alitangaza kurejea kazini baada ya kumaliza adhabu ya kufungiwa kwa miaka miwili iliyotolewa na Kamati ya Maadili ya TFF kupitia Ofisa Habari Clifforf Ndimbo amesema Manara yuko huru kuendelea na majukumu yake baada ya kukamilika kwa adhabu.
Ndimbo amesema mbali na Manara kumaliza adhabu pia amelipa kiasi cha sh 10 Milioni ikiwa ni faini iliyoambatana na kifungo hicho.
“Manara yuko huru kweli na hata huo mkutano alioufanya hajakosea kitu kwa kuwa hajafanya kosa lolote kikanuni adhabu yake ilimalizika” amesema Ndimbo.
“Ukiachana kumalizika kwa adhabu hiyo kutokana kudaiwa kufanya makosa ya kimaadili alipowaruzana na Rais wa TFF Wallace Karia katika Fainali ya Kombe la FA kati ya Yanga dhidi ya Coastal UNion ya Tanga uliochezwa kwenye Uwanja wa Sheikh Amri Abeid JIjini Arusha.
Recommended Products
-
2025 Summer Rapper Feid Ferxxo Men’s Cotton Fashion Hip-hop T-shirt Casual and Comfortable Short-sleeved T-shirt Street Wear
Affliate products $22.00 -
3 IN 1 Magnetic Folding Wireless Charger Station For IPhone Transparent Fast Charging For IWatch And Airpods
Affliate products -
Grandpa Of Love hoodies Human French Letters Dad Papa Papy Gift Men Clothing hoodies
Affliate products $22.00 -
Sale!
Lenovo D18 Drone 8K Aerial HD Dual-Camera Intelligent Obstacle Avoidance Brushless Power 5G WIFI Screen Remote Control GPS Drone
Affliate products Original price was: $7.99.$7.89Current price is: $7.89. -
Mini Portable Face Cordless Shavers Rechargeable USB Electric Shaver Wet & Dry Painless Small Size Machine Shaving For Men
Affliate products $44.00 -
New Original T75 Bone Conduction Wireless Bluetooth 5.3 Headphones Sports Earphones HiFi Sound Quality Waterproof TWS Headset
Affliate products $3.33






