TAZAMA PICHA ZA HARUSI YA KLEYAH NA MCHUMBA WAKE WA MIAKA 7

9 years ago111 Views

f77bcf4a-d3bc-4890-aa16-445930c441dc
Baada ya kuwa katika mahusiano yaliyodumu kwa miaka 7 na kufanikiwa kuweka uhusiano wao nje ya macho ya umma, msanii maarufu wa Bongo Kleyah amefunga ndoa na mpenzi wake wa muda mrefu ambaye pia ni meneja mshirika, Mhandisi Barnabas Ndyanabo mjini Kampala, Uganda Septemba 10, 2016.
Harusi ilifanyika katika hoteli ya kifahari ya Serena. Sherehe hiyo ilibarikiwa na mualiko wa wageni 100 ambao ni watu wa karibu sana wa familia na marafiki.
b963aa54-34d2-45d3-b1b7-f8c8f34be263
Bongo songstress huyo alivalia lulu beaded fascinator na lace Berta vilivyonogesha gauni maalum lililotengenezwa na designer maarufu kutoka nchini Afrika Kusini na lilikuwa kama mermaid silhouette na alivalia viatu vya Bradgley Mischaka.
0dfcc064-ea08-431b-8798-ad5e0d09c935
9edfc912-b1e6-48ed-8ad6-a26ef5b9c007

359f7753-e092-4830-b9e9-5ea3be36b704

3b2f3eb9-8602-4ea6-b00d-89073a4b9c7c
4849a470-e920-4c3e-8373-357dbe14038d
Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Mchanganyiko

Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.