Tanzania (Taifa Stars) Yaifunga Senegal

Masama BlogMICHEZO8 months ago339 Views

Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) imetoka nyuma 1-0 na kushinda 2-1 dhidi ya Senegal kwenye mashindano ya CECAFA ya Mataifa matatu katika dimba la Black Rhinos, Karatu Tanzania.

Huu ni ushindi wa pili kwa Stars baada ya kuilaza Uganda The Cranes 1-0 kwenye mchezo wa kwanza wa mashindano hayo ambayo ni sehemu ya maandalizi ya michuano ya CHAN 2024 inayotarajiwa kuanza Agosti 2, 2025.

Previous Post

Next Post

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Mchanganyiko

Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.