Kwa wakazi wa dodoma na viunga vyake jiji hilo linaanza kuonyesha matunda ya serikali kuhamia dodoma kwani tayari kuna maeneo mapya mengi yanayoonyesha dhahiri kuunga mkono serikali ya awamu ya Sita chini ya Mhe Rais Samia Suluhu Hassan ya kuhakikisha jiji la dodoma linakua na kujengeka kwa kiwango cha makao makuu ya nchi.
Moja ya eneo zuri la kutembelea uwapo jijini dodoma ni MALAIKA VILLAGE lililopo barabara kuu ya dodoma – morogoro wilaya ya Chamwino Chinangali II mkabala na makao makuu ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) ambapo katika eneo hilo utapata Huduma zifuatazo;
Akiongea na mwandishi wetu meneja wa Hoteli Hiyo ambayo kwa sasa ndiyo inaongoza kwa kutembelewa na watu wapya jijini humo amesema anaendela kuwakarabisha wadau mbalimbali wa Burudani na wanaohitaji eneo zuri tulivu kwa ajili ya kufurahi wao,marafiki na hata na familia zao kuwa kwa sasa eneo ni Moja tu MALAIKA VILLAGE.
Kwa maulizo ya huduma mbalimbali na unaweza kuweka oda kwa kuwapigia
Malaika Village kwa Namba +255 746 727662
KARIBUNI SAANA MALLAIKA VILLAGE DODOMA