Siwezi Kumchukia Ray na Atabaki Kuwa Baba Watoto Wangu Hata Tukiachana- Chuchu Hans

7 years ago107 Views

Siwezi Kumchukia Ray na Atabaki Kuwa Baba Watoto Wangu Hata Tukiachana- Chuchu Hans

msanii mwenzake Vicent Kigosi ‘Ray’ ambaye ni baba wa Mtoto wake.

Kwa Wiki kadhaa sasa kumekuwa na tetesi kuwa penzi la Ray na Chuchu Hansy limefika mwisho Baada ya kuwa kwenye mahusiano kwa miaka mingi na kuzaa pamoja Mtoto mmoja.

Kwenye mahojiano aliyofanya na kipindi cha Enews cha EATV, Chuchu amesema kuwa hawezi kumchukia Ray hata siku moja kwa sababu atabaki kuwa baba wa Watoto Wake hata kama wakiachana au wakiendelea kuwa wote.

Siwezi kabisa kuongelea mahusiano yangu na Ray kwa sababu hayo ni maisha yangu binafsi Lakini mimi na yeye tupo sawa kwa sababu tunalea mtoto kwa pamoja hivyo hamna shida”.

from UDAKU SPECIAL BLOG http://bit.ly/2X3tUpO
via

0 Votes: 0 Upvotes, 0 Downvotes (0 Points)

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Mchanganyiko

Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.