Siri Yafichuka Kumbe Msemo wa Hapa Kazi tuu Diamond Ndio Aliwapa CCM

7 years ago89 Views

Mh January Makamba amefunguka na  kusema kuwa auli mbiu ya kipindi ch CCM ya hapa kazi tu waliipata utoka kwa Diamond baada ya uwaambia kuwa ile sera yao ya kwanza ya hapa ni azi tu kuona kuwa haileti mantika kama hiyo.

January Makamba amefunguka hayo  alipokuwa katia mahojiano na clouds media na kusema kuwa moja ya mambo anayoubuka katika uchaguzi wa mwaka 2015 katika michango walioipata kutoka kwa wasanii ni swala la iyo kauli mbiu ya chama .

Mh makamba anasema “Msanii Diamond platinumz alitusaidia kupata kauli mbiu ya buchaguzi wa CCM mwaka 2015 kutoka hapa ni kazi tu na wenda kwenye hapa kazi tu , “

from UDAKU SPECIAL BLOG https://ift.tt/2GAHpZc
via

0 Votes: 0 Upvotes, 0 Downvotes (0 Points)

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Mchanganyiko

Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.