Binafsi kama Hans Rafael sioni haja ya Simba kubaki na magolikipa wawili wa kigeni,huu ni uharibifu wa nafasi za wachezaji wa kigeni.
Nadhani Simba wanatakiwa kubaki na Camara kama kipa namba moja huku akisaidiwa na Ally Salim na Abel,kisha waachane na Ayoub ambae hayuko fit.
Wakati huo Simba waachane na Freddy ambaye haingii kwenye mfumo wa Fadlu kisha waingie sokoni kupata namba 9 wa maana na winga mmoja wa kulia mwenye kasi na ujuzi wa kufunga magoli mfano yule Derrick Fordjour wa Medeama anafaa sana.
Baada ya hapo Simba watakuwa tayari kupigania ubingwa wa msimu ujao✍️
Recommended Products
-
2025 Summer Rapper Feid Ferxxo Men’s Cotton Fashion Hip-hop T-shirt Casual and Comfortable Short-sleeved T-shirt Street Wear
Affliate products $22.00 -
3 IN 1 Magnetic Folding Wireless Charger Station For IPhone Transparent Fast Charging For IWatch And Airpods
Affliate products -
Grandpa Of Love hoodies Human French Letters Dad Papa Papy Gift Men Clothing hoodies
Affliate products $22.00 -
Sale!
Lenovo D18 Drone 8K Aerial HD Dual-Camera Intelligent Obstacle Avoidance Brushless Power 5G WIFI Screen Remote Control GPS Drone
Affliate products Original price was: $7.99.$7.89Current price is: $7.89. -
Mini Portable Face Cordless Shavers Rechargeable USB Electric Shaver Wet & Dry Painless Small Size Machine Shaving For Men
Affliate products $44.00 -
New Original T75 Bone Conduction Wireless Bluetooth 5.3 Headphones Sports Earphones HiFi Sound Quality Waterproof TWS Headset
Affliate products $3.33







