Simba sasa Wanamtaka Dickson Job
Mchezo ni mmoja tu akichukua wako na yeye chukua wakwake “piga panapo uma”
Mara baada ya Yangasc kufanya umafia kwa watani wao wa Jadi Simbasc kwa kumchoma Mohamed Hussen ambaye alikuwa tayari amemaliza mkataba wake na miamba hiyo ya soka
Mnyama nae bila ya kuchelewa ameamua kujibu kwa kishindo
Simbasc wameamua kuwekeza nguvu kwa mlinzi wa kati wa Yangasc Dickson Nickson Job ambaye na yeye amemaliza mkataba wake na mpaka sasa ajasaini mkataba mpya
Taarifa za ndani zinaeleza ya kwamba mwamba tayari ameweka dau lake mezani ambalo analitaka huku Yangasc wameonyesha kutokukubaliana na hilo dili na kuhitaji Dickson Nickson Job kushusha dau hilo
Huku mnyama ndiyo anatajwa kumpa kiburi hicho na tayari wameweka dau nono kuliko la Yangasc
Hii inatafsiriwa kama kisasi ambacho kitauma kwa Yangasc baada ya wao kufanikisha dili la Zimbwe Jr
Recommended Products
-
2025 Summer Rapper Feid Ferxxo Men’s Cotton Fashion Hip-hop T-shirt Casual and Comfortable Short-sleeved T-shirt Street Wear
Affliate products $22.00 -
3 IN 1 Magnetic Folding Wireless Charger Station For IPhone Transparent Fast Charging For IWatch And Airpods
Affliate products -
Grandpa Of Love hoodies Human French Letters Dad Papa Papy Gift Men Clothing hoodies
Affliate products $22.00 -
Sale!
Lenovo D18 Drone 8K Aerial HD Dual-Camera Intelligent Obstacle Avoidance Brushless Power 5G WIFI Screen Remote Control GPS Drone
Affliate products Original price was: $7.99.$7.89Current price is: $7.89. -
Mini Portable Face Cordless Shavers Rechargeable USB Electric Shaver Wet & Dry Painless Small Size Machine Shaving For Men
Affliate products $44.00 -
New Original T75 Bone Conduction Wireless Bluetooth 5.3 Headphones Sports Earphones HiFi Sound Quality Waterproof TWS Headset
Affliate products $3.33






