Hivi karibuni umeibuka mzozo mkubwa kati ya mama mazazi wa mlimbwende Hamisa Mobeto, Shufaa Lutigunga na mama mzazi wa msanii Diamond Platinumz, Mama Sandra, kufuatia kitendo cha mama Sandra kudaiwa kuingia katika mahusiano ya kimapenzi na kijana mdogo ambaye angeweza kuwa mtoto wake.
Kufuatia kitendo hicho, mama Hamisa amemjia juu mama Diamond akimsema kuwa anakubali kuolewa na kijana mdogo kama mwanaye, jambo ambalo siyo zuri kwa maadili ya kitanzania.
Shufaa aliongeza kuwa kuolewa na kijana mdogo aliyemuita kwa jina ‘serengeti boy’ ni kujivunjia heshima kitu ambacho hawezi kukifanya, ikiwa ni kwa faida ya wajukuu wake.
“Jamani mimi kama ni kuolewa basi nitaolewa na mtu mzima mwenzangu kwa sababu Serengeti Boy kwangu haiwezekani, nahitaji kuolewa kweli ila nitaolewa na mzee mwenzangu ili wajukuu wapate babu,” alieleza Shufaa lipohojiwa.
Mama mzazi wa Diamond, amekuwa katika mahusiano ya kimapenzi na kijana ambaye kwa umri ni sawa na mtoto wake anayeitwa Rally Jones jambo ambalo limeibua sintofahamu na kuamshan hisia za watu wengi, huku kila mmoja akiwa na maoni yake juu ya jambo hilo.
Recommended Products
-
2025 Summer Rapper Feid Ferxxo Men’s Cotton Fashion Hip-hop T-shirt Casual and Comfortable Short-sleeved T-shirt Street Wear
Affliate products $22.00 -
3 IN 1 Magnetic Folding Wireless Charger Station For IPhone Transparent Fast Charging For IWatch And Airpods
Affliate products -
Grandpa Of Love hoodies Human French Letters Dad Papa Papy Gift Men Clothing hoodies
Affliate products $22.00 -
Sale!
Lenovo D18 Drone 8K Aerial HD Dual-Camera Intelligent Obstacle Avoidance Brushless Power 5G WIFI Screen Remote Control GPS Drone
Affliate products Original price was: $7.99.$7.89Current price is: $7.89. -
Mini Portable Face Cordless Shavers Rechargeable USB Electric Shaver Wet & Dry Painless Small Size Machine Shaving For Men
Affliate products $44.00 -
New Original T75 Bone Conduction Wireless Bluetooth 5.3 Headphones Sports Earphones HiFi Sound Quality Waterproof TWS Headset
Affliate products $3.33






