BONDIA mstaafu Floyd Mayweather, juzi alipata nafasi ya kukutana na mastaa wa Juventus wakiongozwa na Cristiano Ronaldo baada ya timu hiyo kuifunga AC Milan na kubeba kombe la Super Cup.
Bondia, 41, huyo alikaribishwa kwenye vyumba vya kubadilishia nguo baada ya Juventus kushinda bao 1-0 mfungaji akiwa ni Ronaldo katika mchezo uliopigwa Saudi Arabia ambapo pia ni kombe la kwanza la Mreno huyo tangu atue hapo akitokea Real Madrid, mwanzoni mwa msimu huu.
Mbali na kusalimiana na wachezaji kadhaa wa timu hiyo, alipata nafasi ya kupiga picha na kombe hilo. Wachezaji wengine aliopiga nao picha ni Paulo Dybala, Giorgio Chiellini na Blaise Matuidi. Katika mchezo huo, Ronaldo, 33, alifunga bao katika dakika ya 61 akimalizia krosi ya Miralem Pjanic, likiwa ni bao lake la 16 msimu huu
from UDAKU SPECIAL BLOG http://bit.ly/2FyR5mi
via
Recommended Products
-
2025 Summer Rapper Feid Ferxxo Men’s Cotton Fashion Hip-hop T-shirt Casual and Comfortable Short-sleeved T-shirt Street Wear
Affliate products $22.00 -
3 IN 1 Magnetic Folding Wireless Charger Station For IPhone Transparent Fast Charging For IWatch And Airpods
Affliate products -
Grandpa Of Love hoodies Human French Letters Dad Papa Papy Gift Men Clothing hoodies
Affliate products $22.00 -
Sale!
Lenovo D18 Drone 8K Aerial HD Dual-Camera Intelligent Obstacle Avoidance Brushless Power 5G WIFI Screen Remote Control GPS Drone
Affliate products Original price was: $7.99.$7.89Current price is: $7.89. -
Mini Portable Face Cordless Shavers Rechargeable USB Electric Shaver Wet & Dry Painless Small Size Machine Shaving For Men
Affliate products $44.00 -
New Original T75 Bone Conduction Wireless Bluetooth 5.3 Headphones Sports Earphones HiFi Sound Quality Waterproof TWS Headset
Affliate products $3.33







