Rais wa CAF Patrice Motsepe Akanusha Kugombea Urais Afrika Kusini
Rais wa CAF Patrice Motsepe Akanusha Tetesi za Kutaka Kugombea Urais Afrika Kusini
Rais wa Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF), Patrice Motsepe, amekanusha uvumi ulioenea hivi karibuni kwamba anataka kugombea Urais wa Afrika Kusini, akisema nchi hiyo haihitaji kutawaliwa na tajiri.
Inakuja baada ya ripoti mapema mwaka huu kwamba Mwanaharakati huyo, anapanga kuchukua nafasi ya Rais Cyril Ramaphosa katika Uongozi wa African National Congress (ANC) na kuwa Rais wa Afrika Kusini.
Akizungumza katika mkutano wa kila mwaka wa jukwaa la wataalamu wa Vyombo vya habari nchini Afrika Kusini (SANEF), Motsepe alisema hana ajenda ya kisiasa, licha ya baadhi ya ANC kumtaka aongoze chama.
Alisema bado yuko makini katika chama kilichoasisiwa na Nelson Mandela (ANC), lakini akasisitiza kuwa Afrika Kusini haihitaji kuwa na Rais kwani yeye ni tajiri na ofisi ya Rais inahitaji mtu mhimu zaidi.
Alisema Afrika Kusini ina watu wengine wenye sifa za uongozi.
Kabila Awakusanya Wapinzania wa TSHISEKEDI Jijini Nairobi
Recommended Products
-
2025 Summer Rapper Feid Ferxxo Men’s Cotton Fashion Hip-hop T-shirt Casual and Comfortable Short-sleeved T-shirt Street Wear
Affliate products $22.00 -
3 IN 1 Magnetic Folding Wireless Charger Station For IPhone Transparent Fast Charging For IWatch And Airpods
Affliate products -
Grandpa Of Love hoodies Human French Letters Dad Papa Papy Gift Men Clothing hoodies
Affliate products $22.00 -
Sale!
Lenovo D18 Drone 8K Aerial HD Dual-Camera Intelligent Obstacle Avoidance Brushless Power 5G WIFI Screen Remote Control GPS Drone
Affliate products Original price was: $7.99.$7.89Current price is: $7.89. -
Mini Portable Face Cordless Shavers Rechargeable USB Electric Shaver Wet & Dry Painless Small Size Machine Shaving For Men
Affliate products $44.00 -
New Original T75 Bone Conduction Wireless Bluetooth 5.3 Headphones Sports Earphones HiFi Sound Quality Waterproof TWS Headset
Affliate products $3.33






