Kabila Awakusanya Wapinzania wa TSHISEKEDI Jijini Nairobi

Masama BlogSIASAKIMATAIFA7 months ago195 Views

Rais wa zamani wa Congo, aliyehukumiwa kifo Septemba 30, ameitisha kongamano la kisiasa nchini Kenya.

Kongamano hilo linakuja wiki mbili baada ya kuhukumiwa kifo na Mahakama ya Kijeshi ya Congo, ambayo ilimpata na hatia ya uhaini na uhalifu dhidi ya amani.

Katika hukumu hiyo,Mahakama ya Kijeshi iliamuru kutaifishwa kwa mali zake na fidia ya Mamilioni ya fedha.

Kwa mujibu wa taarifa, Rais huyo wa zamani wa DRC amewaalika wapinzani kadhaa kwenye mkutano uliopangwa kuanza leo Oktoba 14 jijini Nairobi.

HAMAS na Israel zasaini Makubaliano Kusitisha Vita

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Mchanganyiko

Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.