Pretty Kind- Nimeokoka, Sasa Naimba Nyimbo Za Dini

7 years ago132 Views

Pretty Kind- Nimeokoka, Sasa Naimba Nyimbo Za Dini

Msanii wa muziki wa Bongo fleva Suzan Michael maarufu kama Pretty Kind ametangaza rasmi kuachana na Bongo fleva na kugeukia Muziki wa Gospel/ nyimbo za dini.

Pretty Kind amefunguka na kuweka wazi kuwa amefikia uamuzi huo Baada ya kuamua kuachana na mambo ya kidunia na kumrudia Mungu Wake kumaanisha kwamba ameokoka.

Kwenye mahojiano aliyofanya na Global Publishers, Pretty Kind alisema baada ya kumrudia Mungu, ameamua kuachana na muziki wa kidunia na sasa anaandaa nyimbo za Injili ambazo ataziachia hivi karibuni.

Tangu nimeokoka maisha yangu yamekuwa ya furaha mno na nina amani moyoni tofauti na nilivyokuwa naendekeza maisha ya kidunia hivyo ili kudhihirisha furaha aliyonipa Mungu, sasa ninaanza kuimba nyimbo za Injili ili ziwe ushuhuda wa kuwabadili na wengine“.
 on our website.

from UDAKU SPECIAL BLOG https://ift.tt/2Eajb4d
via

0 Votes: 0 Upvotes, 0 Downvotes (0 Points)

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Mchanganyiko

Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.