PICHA Yasambaa Baba Mzazi wa Diamond Akiwa Hoi na Ugonjwa wa Miguu

7 years ago93 Views

Baba mzazi wa Diamond Platinumz ameripotiwa kuwa hoi kitandani kutokana na ugoinjwa wa miguu unaomsumbua kwa sasa huku akiwa anaripotiwa kuwa haijulikani anaumwa ugonjwa gani mpaka sasa

Hata hivyo inasemekana kuwa pamoja na kwamba baba huyo amekuwa mgonjwa lakini mtoto wake Diamond Platinumz ameshindwa kwenda kumsaidia hata kwa pesa za matibabu baba yake mzazi.

Baba huyo mzazi amekuwa akiumwa lakini alishawahi  kufanya juu chini kwa ajili ya kufanya mazungumzo na mtoto wake huyo kwa kiume ili kuwa na mahusiano mazuri na mtoto huyo lakini swala hilo linaonekana  kushindikana

Picha inayosambaa ikionyesha hali ya miguu ya baba mzazi wa Diamond

from UDAKU SPECIAL BLOG http://bit.ly/2V83fqf
via

0 Votes: 0 Upvotes, 0 Downvotes (0 Points)

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Mchanganyiko

Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.