Penzi la Jack Wolper na Harmonize Chali…Harmonize Apata Mzungu Mwenye Pesa Chafu

8 years ago116 Views

Za kunyapia nyapia zinadai kwamba hakuna tena mapenzi baina ya mastaa @harmonize_tz  na mwanadada @wolperstylish. 

Shilawadu wanadai kwamba Harmonize kwasasa ana toka na mrembo flani hivi wa kizungu na tayari mrembo huyo ni mjamzito na inasemekana kibendi hicho ni cha Harmonize.

Soudy Brown amewatafuta wawili hao bila mafanikio na kuamua kumvutia waya meneja waHarmonize, Babu Tale. ili aweze kutupa angalau ukweli juu ya suala hilo..lakini Babu Tale akasema hayo hayamuhusu yeye ana manage muziki wa Harmonize na sio mapenzi.

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Mchanganyiko

Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.