Paul Makonda: Nimeacha Kazi Ili Nipate Kazi.
Watia nia wa ubunge kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika Jimbo la Arusha Mjini Arusha, Julai 31, 2025 wameendelea kujinadi mbele ya wajumbe wa chama, katika vikao vinavyoendelea kwa kasi.
Miongoni mwa waliojitokeza ni Paul Makonda, aliyewahi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha, ambaye alizungumza mbele ya wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Kata ya Sokoni 1.
Makonda alisema:
“Nimeacha kazi ili mnipatie kazi. Naomba kazi ninayoifahamu, ninayoipenda, na ninayoimudu. Siombi kazi ya majaribio.”
Alisisitiza kuwa ana imani wajumbe wanamfahamu vyema kutokana na historia ya utendaji wake, na kwamba anakuja na dhamira ya dhati ya kuwatumikia wananchi wa Arusha Mjini.
Kipaumbele chake: Makonda aliahidi kwamba akipewa ridhaa ya kuwa Mbunge: Ataboresha miundombinu ya barabara, ambayo alisema imekuwa kero kubwa kwa wananchi,
Atashughulikia kero zinazowakabili wakazi kwa mbinu za kitaalamu na kwa kutumia uwezo alionao wa kushawishi maendeleo.
Recommended Products
-
2025 Summer Rapper Feid Ferxxo Men’s Cotton Fashion Hip-hop T-shirt Casual and Comfortable Short-sleeved T-shirt Street Wear
Affliate products $22.00 -
3 IN 1 Magnetic Folding Wireless Charger Station For IPhone Transparent Fast Charging For IWatch And Airpods
Affliate products -
Grandpa Of Love hoodies Human French Letters Dad Papa Papy Gift Men Clothing hoodies
Affliate products $22.00 -
Sale!
Lenovo D18 Drone 8K Aerial HD Dual-Camera Intelligent Obstacle Avoidance Brushless Power 5G WIFI Screen Remote Control GPS Drone
Affliate products Original price was: $7.99.$7.89Current price is: $7.89. -
Mini Portable Face Cordless Shavers Rechargeable USB Electric Shaver Wet & Dry Painless Small Size Machine Shaving For Men
Affliate products $44.00 -
New Original T75 Bone Conduction Wireless Bluetooth 5.3 Headphones Sports Earphones HiFi Sound Quality Waterproof TWS Headset
Affliate products $3.33






