Nikisema simjui Dudu Baya nitakuwa najichumia dhambi – Harmorapa

7 years ago103 Views

Nikisema simjui Dudu Baya nitakuwa najichumia dhambi - Harmorapa

Mara baaba ya kipindi cha nyuma kutibuana, kwa mara ya kwanza Harmorapa amezungumzia uhusiano na Dudu Baya ulivyo kwa sasa.

Harmorapa ameeleza kuwa anamjua vizuri Dudu Baya ingawa hawajawahi kukutana wala kuwasiliana na ugomvi wao ulikuwa kwenye mitandao tu.

“Konki, kwanini nisjimjue nikisema simjui nitakuwa najichumia dhambi hata kwa Mungu, kama inafikia hatua ya kunizungumzia ina maana anajijua na mimi namjua yeye nani,” ameeleza Harmorapa.

Utakumbuka mara baada ya Harmorapa kuingilia kati kitu ambacho Dudu Baya alikiita ni vita dhidi ya ushoga, Dudu Baya alihaidi kumpatia kichapo msanii huyo mwenye matukio ya aina yake kwenye muziki.

from UDAKU SPECIAL BLOG http://bit.ly/2W1xnEP
via

0 Votes: 0 Upvotes, 0 Downvotes (0 Points)

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Mchanganyiko

Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.