Mara baaba ya kipindi cha nyuma kutibuana, kwa mara ya kwanza Harmorapa amezungumzia uhusiano na Dudu Baya ulivyo kwa sasa.
Harmorapa ameeleza kuwa anamjua vizuri Dudu Baya ingawa hawajawahi kukutana wala kuwasiliana na ugomvi wao ulikuwa kwenye mitandao tu.
“Konki, kwanini nisjimjue nikisema simjui nitakuwa najichumia dhambi hata kwa Mungu, kama inafikia hatua ya kunizungumzia ina maana anajijua na mimi namjua yeye nani,” ameeleza Harmorapa.
Utakumbuka mara baada ya Harmorapa kuingilia kati kitu ambacho Dudu Baya alikiita ni vita dhidi ya ushoga, Dudu Baya alihaidi kumpatia kichapo msanii huyo mwenye matukio ya aina yake kwenye muziki.
from UDAKU SPECIAL BLOG http://bit.ly/2W1xnEP
via
Recommended Products
-
2025 Summer Rapper Feid Ferxxo Men’s Cotton Fashion Hip-hop T-shirt Casual and Comfortable Short-sleeved T-shirt Street Wear
Affliate products $22.00 -
3 IN 1 Magnetic Folding Wireless Charger Station For IPhone Transparent Fast Charging For IWatch And Airpods
Affliate products -
Grandpa Of Love hoodies Human French Letters Dad Papa Papy Gift Men Clothing hoodies
Affliate products $22.00 -
Sale!
Lenovo D18 Drone 8K Aerial HD Dual-Camera Intelligent Obstacle Avoidance Brushless Power 5G WIFI Screen Remote Control GPS Drone
Affliate products Original price was: $7.99.$7.89Current price is: $7.89. -
Mini Portable Face Cordless Shavers Rechargeable USB Electric Shaver Wet & Dry Painless Small Size Machine Shaving For Men
Affliate products $44.00 -
New Original T75 Bone Conduction Wireless Bluetooth 5.3 Headphones Sports Earphones HiFi Sound Quality Waterproof TWS Headset
Affliate products $3.33







