Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imekana kuhusika na matangazo ya kihalifu ya ajira yaliyosambazwa maeneo mbalimbali nchini ikiwemo Manispaa ya Moshi mkoani Kilimanjaro.
Katika taarifa iliyotolewa na Mkurugenzi wa Uchaguzi Dkt. Athumani Kihamia, NEC ameutaarifu umma kuwa haihusiki na matangazo hayo yenye lengo la kuwatapeli wananchi kuwa, Tume imetoa ajira za muda.
Dkt. Kihamia alifafanua kuwa kutokana na tangazo hilo, wananchi walioomba ajira hizo wamekuwa wakiambiwa watoe kiasi cha fedha kwa madai kuwa ni kwa ajili ya mafunzo.
“Hatua kali za Kisheria zitachukuliwa dhidi ya mtu au kundi la watu wanaotumia au wanaopanga kutumia jina la Tume ya Taifa ya Uchaguzi kufanya vitendo vya kihalifu” ilisema sehemu ya taarifa hiyo.
Katika taarifa yake, Dkt. Kihamia aliwasihi wananchi kuendelea kutoa taarifa mara tu wanapohisi uwepo wa watu au kundi la watu wenye nia mbaya ya kulichafua jina la Tume yaTaifa yaUchaguzi.
from MICHUZI BLOG http://bit.ly/2YlV0Iw
via
Recommended Products
-
2025 Summer Rapper Feid Ferxxo Men’s Cotton Fashion Hip-hop T-shirt Casual and Comfortable Short-sleeved T-shirt Street Wear
Affliate products $22.00 -
3 IN 1 Magnetic Folding Wireless Charger Station For IPhone Transparent Fast Charging For IWatch And Airpods
Affliate products -
Grandpa Of Love hoodies Human French Letters Dad Papa Papy Gift Men Clothing hoodies
Affliate products $22.00 -
Sale!
Lenovo D18 Drone 8K Aerial HD Dual-Camera Intelligent Obstacle Avoidance Brushless Power 5G WIFI Screen Remote Control GPS Drone
Affliate products Original price was: $7.99.$7.89Current price is: $7.89. -
Mini Portable Face Cordless Shavers Rechargeable USB Electric Shaver Wet & Dry Painless Small Size Machine Shaving For Men
Affliate products $44.00 -
New Original T75 Bone Conduction Wireless Bluetooth 5.3 Headphones Sports Earphones HiFi Sound Quality Waterproof TWS Headset
Affliate products $3.33







