wakiendelea kugoma kuwa wameachana siri ya ndani ambayo inazidi
kufumuka kwa mastaa wawili ambao wemetengana kinyumba ambao ni
mwanamuziki Judith Wambura’Lady Jay Dee’na mtandazaji kiwango Gardner G
Habash.
za hivi zinaeleza kuwa Jaydee ameanza kumfuta Gardner kwenye urithi wa
mali mbalimbali ili baadae wasije kuleteana shida kwenye mgao.
cha ndani kinasema kuwa tayari Jaydee ameshauza nyumba moja huko kimara
na ula mgahawa wa Nyumbani Lounge ambao aliutangaza kuufunga sasa
anaufungua kwa jina la Mog Bar& Reutsaurant
“Kiukweli
ni kwamba hawa jamaawameachana rasmi ila hawataki hili lijulikane kwa
upande wa Lady Jaydee ameanza kulihakiki mali zote walizokuwa wakishea
na Gadner kwa ajili ya kuzipa umiliki wake,tayari nyumba moja wameshauza
na sasa amekodi upya ule mgahawa wa Nyumbani Lounge na utaanza kazi
rasmi” chanzo hicho.






























