Mwandishi Anas al-Sharif wa Al Jazeera Auawa Gaza
Mwandishi mashuhuri wa Al Jazeera, Anas al-Sharif (28) ambaye amekuwa akiripoti matukio mbalimbali kutoka sehemu nyingi za kaskazini mwa Gaza ameuawa katika shambulio lililolengwa na Israel dhidi ya mahema ya waandishi wa habari katika mji wa Gaza siku ya jana Jumapili, Agosti 10, 2025.
Soma Magazeti ya Leo Jumatatu,11 Agosti 2025
Anas Al-Sharif ameuawa yeye na wenzake wanne (4)
Katika shambulio lililofanywa jana Jumapili jioni dhidi ya hema lililoko nje ya hospitali ya al-Shifa ya Gaza.
Shirika la habari la Al Jazeera limelaani kitendo hicho cha mauaji ya makusudi na kusema kuwa kitendo hicho ni kuminya uhuru wa vyombo vya habari.
Recommended Products
-
2025 Summer Rapper Feid Ferxxo Men’s Cotton Fashion Hip-hop T-shirt Casual and Comfortable Short-sleeved T-shirt Street Wear
Affliate products $22.00 -
3 IN 1 Magnetic Folding Wireless Charger Station For IPhone Transparent Fast Charging For IWatch And Airpods
Affliate products -
Grandpa Of Love hoodies Human French Letters Dad Papa Papy Gift Men Clothing hoodies
Affliate products $22.00 -
Sale!
Lenovo D18 Drone 8K Aerial HD Dual-Camera Intelligent Obstacle Avoidance Brushless Power 5G WIFI Screen Remote Control GPS Drone
Affliate products Original price was: $7.99.$7.89Current price is: $7.89. -
Mini Portable Face Cordless Shavers Rechargeable USB Electric Shaver Wet & Dry Painless Small Size Machine Shaving For Men
Affliate products $44.00 -
New Original T75 Bone Conduction Wireless Bluetooth 5.3 Headphones Sports Earphones HiFi Sound Quality Waterproof TWS Headset
Affliate products $3.33






