Mwandishi Anas al-Sharif wa Al Jazeera Auawa Gaza

Masama BlogKIMATAIFA6 months ago186 Views

Mwandishi Anas al-Sharif wa Al Jazeera Auawa Gaza

Mwandishi mashuhuri wa Al Jazeera, Anas al-Sharif (28) ambaye amekuwa akiripoti matukio mbalimbali kutoka sehemu nyingi za kaskazini mwa Gaza ameuawa katika shambulio lililolengwa na Israel dhidi ya mahema ya waandishi wa habari katika mji wa Gaza siku ya jana Jumapili, Agosti 10, 2025.

Soma Magazeti ya Leo Jumatatu,11 Agosti 2025

Anas Al-Sharif ameuawa yeye na wenzake wanne (4)
Katika shambulio lililofanywa jana Jumapili jioni dhidi ya hema lililoko nje ya hospitali ya al-Shifa ya Gaza.

Shirika la habari la Al Jazeera limelaani kitendo hicho cha mauaji ya makusudi na kusema kuwa kitendo hicho ni kuminya uhuru wa vyombo vya habari.

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Mchanganyiko

Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.