Msanii Kutoka Kenya Atangaza Kufa Kuoza Kwa Idris Sultan

7 years ago81 Views

Msanii wa muziki kutoka DRC Congo ambaye anafanya Shughuli zake za kimuziki nchini Kenya Alicious Theluji ametangaza kuwa amekufa ameoza kwa Mchekeshaji MBongo Idris Sultan.

Alicious ambaye amedai ameshindwa kujizua na hisia zake amefunguka na kudai kuwa kwa sasa hakuna mwanaume anayemvutia na kumpenda kama ilivyo kwa Idris Sultan.

Kwenye mahojiano aliyofanya na kituo cha redio cha Citizen Kupitia kipindi cha Mseto East Africa, Alicious ameweka wazi kuwa Idris ni Crush Wake Lakini pia ni mtu ambaye anampenda sana.

Kwa sasa nipo Single, Idris Hivi karibuni nakuja Tanzania nina Media tour naomba unipokee Airport”.

Lakini pia mrembo huyo aliweka wazi vigezo vya nwanaume anayemtaka na kumtaja kabisa kuwa anamtaka Idris:

Navutiwa sana nadata, umeshawahi kuona mabega ya Idris wewe?”.

from UDAKU SPECIAL BLOG https://ift.tt/2NfSsrg
via

0 Votes: 0 Upvotes, 0 Downvotes (0 Points)

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Mchanganyiko

Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.