Mr,Misifa “Diamond Platnumz Alikuwa Hajui Kuimba”

7 years ago81 Views

Aliyewahi uwa meneja wa msanii Daimond platinumz kipindi anaanza muziki, Mr Misifa amefunguka na kusema kuwa kipindi diamond anamfuata na kutaka amsimamie alikuwa hajui kuimba kabisa lakini alimkubali na kuanza kufanya nae kazi.

Hata hivyo Mr misifa anasema kuwa kwa sababu alikuwa hajui kuimba hakumkataa lakini aliamua kumuweka pembeni wa muda wa miaka miwili ili kumtengeneza kbala ajaanza kutoka na wimbo wake wa kamwambie.

Papa Misifa ndie aliekuwa meneja wa kwanza wa msanii Diamond ambae ndie aliemtoa katika game na hata katika wimbo wae wa kwanza wa Kamwambie alitokea katika video hiyo, na yeye pia amekuwa moja ya watu wanaojivunia sana mafanikio ya msanii huyo.

Ghafla

from UDAKU SPECIAL BLOG https://ift.tt/2GAajIT
via

0 Votes: 0 Upvotes, 0 Downvotes (0 Points)

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Mchanganyiko

Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.