Morocco Yaiondosha Senegal Fainali CHAN

Masama BlogKIMATAIFAMICHEZO7 months ago286 Views

Morocco Yaiondosha Senegal Fainali CHAN

Mabingwa watetezi wa Kombe la Mataifa Afrika kwa wachezaji wa ndani, Senegal wametupwa nje ya michuano hiyo kufuatia kipigo cha penalti 5-3 dhidi ya Morocco katika katika dimba la Mandela, Kampala.

Simba wa milima ya Atlas, Morocco wametinga fainali ya CHAN2024 ambapo watachuana na Madagascar iliyofikia hatua hiyo baada ya ushindi wa 1-0 dhidi ya Sudan. Simba wa Teranga watachuana na Sudan kuwania nafasi ya mshindi wa tatu.

FT: Morocco πŸ‡²πŸ‡¦ 1-1 πŸ‡ΈπŸ‡³ Senegal (P 5-3)
⚽ 23’ Bougrine
⚽ 16’ Samb

MATUTA: πŸ‡²πŸ‡¦ 5-3 πŸ‡ΈπŸ‡³
πŸ‡²πŸ‡¦Morocco βœ…βœ…βœ…βœ…βœ…
πŸ‡ΈπŸ‡³Senegal βŒβœ…βœ…βœ…

FAINALI
Madagascar πŸ‡²πŸ‡¬πŸ†š πŸ‡²πŸ‡¦ Morocco

MSHINDI WA TATU
Sudan πŸ‡ΈπŸ‡© πŸ†š πŸ‡ΈπŸ‡³ Senegal

SOMA HII: MWENEZI KENANI KIHONGOSI AMEANZA HIVI

0 Votes: 0 Upvotes, 0 Downvotes (0 Points)

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Mchanganyiko

Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.