Mayweather Afanya Kufuru Aonyesha Utajiri Wake na Vitu vya Thamani Anavyomiliki

7 years ago94 Views

Mayweather Afanya Kufuru Aonyesha Utajiri Wake na Vitu vya Thamani Anavyomiliki

Mayweather amekuwa kwenye baadhi ya migogoro na mastaa wakubwa akiwemo mpiganaji wa MMA kutoka nchini Ireland pamoja na Rapper kutoka nchini humo 50 Cent, ambao walikuwa wakimtupia maneno makali baada ya kutangaza kupambana na bondi mwenye umri mdogo zaidi kutoka nchini Japan, huyu si mwingine bali ni Tenshin Nasukawa.

Katika pambano hilo Mayweather aliwajibu yeye anachoangalia ni pesa na sio kingine, na hilo lilikuwa ni jibu kwa hao mastaa wawili ambao ni 50 Cent na Mc Gregor.

Sasa swali linakuja kwamba Mayweather kutuonyesha baadhi ya sehemu ya utajiri wake litakuwa ni dongo kwa hawa watu wawili ? Ingawa tumejaribu kufanya uchunguzi kuona kama jamaa watamjibu lakini bado.

from UDAKU SPECIAL BLOG http://bit.ly/2VIWpZ6
via

0 Votes: 0 Upvotes, 0 Downvotes (0 Points)

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Mchanganyiko

Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.