Wanajamvi
habari zenu. Mimi nina mchumba wangu ambaye ni mkristo mwenye imani
sana na dini yake. Mtaratibu, mpole, na ana heshima sana. Katika
mahusiano yetu hatujawahi kufanya mapenzi mpaka tutakapofunga harusi na
pia ni bikra. Nilipata safari kwa mda nimerudi nimemkuta amejifungua
mtoto wa kiume. Nimeshangaa namuuliza kulikoni, anadai mimba hiyo
alipewa na malaika.
Nimemwamini
ila nikamuambia kama ndivyo basi huyu mtoto atakuwa nabii hivyo
amsimamishe ili atembee juu ya maji kama Yesu, akaniambia amefunuliwa
ndotoni kuwa mtoto huyo ataanza kufanya maajabu atakapofikisha miaka
mitano.
Hapa nimeanza kupata shaka naombeni ushauri!
Recommended Products
-
2025 Summer Rapper Feid Ferxxo Men’s Cotton Fashion Hip-hop T-shirt Casual and Comfortable Short-sleeved T-shirt Street Wear
Affliate products $22.00 -
3 IN 1 Magnetic Folding Wireless Charger Station For IPhone Transparent Fast Charging For IWatch And Airpods
Affliate products -
Grandpa Of Love hoodies Human French Letters Dad Papa Papy Gift Men Clothing hoodies
Affliate products $22.00 -
Sale!
Lenovo D18 Drone 8K Aerial HD Dual-Camera Intelligent Obstacle Avoidance Brushless Power 5G WIFI Screen Remote Control GPS Drone
Affliate products Original price was: $7.99.$7.89Current price is: $7.89. -
Mini Portable Face Cordless Shavers Rechargeable USB Electric Shaver Wet & Dry Painless Small Size Machine Shaving For Men
Affliate products $44.00 -
New Original T75 Bone Conduction Wireless Bluetooth 5.3 Headphones Sports Earphones HiFi Sound Quality Waterproof TWS Headset
Affliate products $3.33






