MAPENZI:JE, UKUBWA WA UUME AU UDOGO WA UUME UNASAIDIA KATIKA KUMRIDHISHA MWANAMKE KIMAPENZI

10 years ago149 Views

Je ni urefu au unene?
Je, urefu wa uume ni suala muhimu kwa mwanamke kuridhika kimapenzi?Hii ni imani
potofu ambayo imewafanya wanaume wengi kujiingiza kufanya surgery za gharama
kubwa na wengine kupoteza pesa zao kwa ajili ya kutafuta dawa za kienyeji ili
kuongeza maumbile kuwa marefu zaidi.
Huko ni kupoteza muda na pesa.
Ingawa urefu wa uume hauna umuhimu kama imani potofu inavyodai bado suala la
msingi ni uimara wa misuli ya uume; kwani misuli ya uume ikiwa imara basi
mwanaume huwa na uwezo (strength/flexibility) ambayo itaweza kumpa sifa mume
kwa mke wake kuliko kushabikia kuwa na jumbo size.
Hii ina maana bila kujali una urefu kiasi gani au ufupi kiasi gani, kama una
misuli imara hilo ndilo jambo la msingi kwa mwanaume.




Tuweke suala la hiyo imani potofu pembeni hivi ni kitu gani
mwanamke huhitaji physically ili afurahie tendo la ndoa?Suala la muhimu ni kuwa
na ufahamu wa anatomy kuhusu mwanamke (uke); ukweli ni kwamba nervesnyingi zipo
within inches mbili kutoka mlango wa uke (vaginal opening) na asilimia kubwa ya
nerves zipo katika mzunguko wa mlango wa uke.
Hii ina maana mwanaume yeyote mwenye uume wa inches mbili kama anajua namna ya
kumfikisha mke kuridhika au kufika kileleni kupitia uke (vaginal climax) basi
ataweza kumfikisha mke wake kileleni.



Je, ni unene (thickness) wa uume huweza kumridhisha mwanamke
kimapenzi?Ni kweli unene inaweza kuwa ni factor hasa kutokana na uwezo wa
mwanamke alionao kukaza misuli ya uke.
Je mwanamke ana umri gani, amekuwa na partners kiasi gani na amezaa watoto
wangapi na zaidi amefanya kitu gani kuhakikisha misuli yake (uke) inakuwa
imara.



Mfano:Ingawa suala la thickness si tatizo kwa wanawake wa
nchi za Asia kama Japan, Singapore au Philippines kwa kuwa suala la kukaza
misuli kwa wanawake ni moja ya sanaa.
Wanawake wa huko hucheza michezo ya kuingiza ping pong-ball (mipira mfano wa
tennis) sita kwenye uke na kuzirusha futi 15 ili kuingia kwenye ndoo huku kila
kimpira kinapotoka kinaendana na popping sound bila kukosa hata kimoja.
Pia huweza kuingia ndizi iliyomenywa kwenye uke huanza kuzikata ndizo (slice)
vipande vipande huku vikidondoka.



Fikiria sasa likija suala la mapenzi hii inaonesha kwamba hao
wanawake wanajua jinsi ya kuridhishana na kwao size does not matter.



Bahati mbaya ni kwamba tamaduni nyingi za Africa, ulaya na
Amerika hazina mazoea ya kuwa na mazoezi ya kukaza misuli ya uke au uume.



Hivyo thickness ni muhimu kwa mwanamke ambaye uke wake ni
loose na weak pia kama misuli yake hoi.
NB: 
Hapa sina maana mwanamke ajihusishe na mchezo huu, it is illegal; najaribu
kuelezea uwezo wa misuli ya uke ukifanyiwa mazoezi vitu inaweza kufanya.
Je, inakuwaje kama mwanaume ana uume mkubwa (unene na urefu) zaidi ya wastani
ambao wanaume wengi huwa?Tafiti nyingi zinaonesha wanawake wengi hulalamika
pale mwanaume anapokuwa na uume mkubwa zaidi ya kawaida na hasa kama hajui
namna ya kuutumia.
Wanawake wengi huona ni huge barrier kwa ajili ya ku-enjoy sex kama mke na mume
na wakati mwingine mwanamke hujisikia uncomfortable na huishia kukwepa.



Pia wanaume wenyewe ambao wana uume mkubwa tafiti zinaonesha
kwamba wengi hujikuta katika huzuni na wanaombolezo kwa sababu partners wao
kujisikia maumivu na kuumia na hata imesababisha mahusiano ya kimapenzi kati ya
mke na mume kuzolota.



Je, hutokea nini pale mwanaume mwenye jumbo size akakutana na
mwanamke mwenye uke uliobana?
Na wanaume ambao ukubwa wa uume (thickness ni zaidi ya kawaida wanapokutana na
mwanamke ambaye ana size ndogo ya uke, au hakuwa wet sawasawa au hajazaa mtoto
kabisa au bikira suala la sex linakuwa shughuli nzito kuihimili kwani lazima
mwanamke akubaliane na pressure na pain za kuta za uke zinapochanwa.



Na pia kama mwanaume ana urefu unaozidi inches 6 ambayo ni
average size kwa wanaume basi mwanamke anaweza kujikuta anajuta kwani anaweza
kuhisi mwanaume anagonga hadi kwenye kizazi (internal reproductive organs).
Na matokeo yake mwanamke hujikuta anakaribisha magonjwa kama cysts ambayo
huhitaji surgery na pia huweza kupata infections ambazo huweza kusababisha
kukosa watoto.



Nini kifanyike?Jambo la msingi ni kwa mwanaume kufahamu namna
ya kutumia tool yake vizuri, hii ni pamoja na kuwa caring, kufanya maandalizi
ya kutosha.



Je, nini faida ya kuwa na uume mkubwa au uume mdogo?Kama
mwanamke ana uke ambao ni loose na hawezi kuthibiti mwendo (misuli imelegea)
basi tool kubwa kama hiyo huweza kumsaidia kupata feelings za kufurahia mapenzi
hapa haijalishi mwanaume ana skills zozote au la.
Na mwanaume ambaye ana uume mdogo kuliko kawaida anaweza kuwa na faida kwa
mwanamke ambaye ana uke mdogo (tight).



Hii ina maana mwanaume mwenye uume mkubwa ana match na
mwanamke mwenye uke loose na hii combination huwezesha hao wawili kuwa na
ridhiko kimapenzi.
Na mwanaume mwenye umbile dogo ana match na mwanamke mwenye uke tight.
Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Mchanganyiko

Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.