MAITI SITA ZAOKOTWA ZIKIWA UCHI MBUGANI

7 years ago102 Views


Maiti zilivyookotwa
Miili sita ya watu wa jinsia ya kiume, imeokotwa katika mbuga ya wanyama ya Tsavo nchini Kenya, huku ikiwa utupu.

Miili hiyo imegunduliwa na maafisa wanyama pori wa hifadhi hiyo, ambao walikuwa kwenye patrol mbugani, ambapo walihisi harufu kali na kuamua kuanza kuchunguza, na ndipo walipokuta miili hiyo.

Polisi nchini Kenya imesema kwamba miili hiyo imepelekwa katika hospitali ya Makindu kwa ajili ya uchunguzi zaidi juu ya vifo vyao.

Hata hivyo jeshi la polisi linaamini kwamba watu hao hajafia katika mbuga hiyo, isipokuwa huenda waliuawa sehemu nyingine na kwenda kutupwa hapo.
Chanzo – EATV

from MALUNDE 1 BLOG https://ift.tt/2TDjJVS
via

0 Votes: 0 Upvotes, 0 Downvotes (0 Points)

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Mchanganyiko

Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.