Huyu ndiye Mchezaji wa Kuogopa FAR Rabat
Kocha wa Yanga SC, Pedro Gonçalves, amemtaja fundi wa klabu ya FAR Rabat, Youssef Al Fahli, kuwa mmoja wa wachezaji ambao kikosi chake kitahitaji kuwa makini naye kuelekea mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika utakaopigwa Jumamosi hii.
Gonçalves amesema Al Fahli amekuwa na mchango mkubwa katika ubora wa FAR Rabat kutokana na kasi, ubunifu na uwezo wake wa kufanya maamuzi ndani ya eneo la hatari, hivyo wanahitaji maandalizi makubwa ili kumzuia kuleta madhara.
“Ni mchezaji mwenye ubora wa juu na anayejua kubadili aina ya mchezo muda wowote. Tutahitaji nidhamu ya juu kumzuia,” alisema Kocha Gonçalves.
Yanga inaingia kwenye mchezo huo ikiwa na morali nzuri baada ya kukimbiliq Zanzibar kwa ajili ya michezo ya Ligi ya Mabingwa, huku mashabiki wakingoja kuona namna watakavyokabiliana na ubora wa Waarabu.
TANZIA:Mchekeshaji na MC Maarufu Tanzania MC Pilipili Amefariki Dunia
Recommended Products
-
2025 Summer Rapper Feid Ferxxo Men’s Cotton Fashion Hip-hop T-shirt Casual and Comfortable Short-sleeved T-shirt Street Wear
Affliate products $22.00 -
3 IN 1 Magnetic Folding Wireless Charger Station For IPhone Transparent Fast Charging For IWatch And Airpods
Affliate products -
Grandpa Of Love hoodies Human French Letters Dad Papa Papy Gift Men Clothing hoodies
Affliate products $22.00 - Sale!
Lenovo D18 Drone 8K Aerial HD Dual-Camera Intelligent Obstacle Avoidance Brushless Power 5G WIFI Screen Remote Control GPS Drone
Affliate products Original price was: $7.99.$7.89Current price is: $7.89. -
Mini Portable Face Cordless Shavers Rechargeable USB Electric Shaver Wet & Dry Painless Small Size Machine Shaving For Men
Affliate products $44.00 -
New Original T75 Bone Conduction Wireless Bluetooth 5.3 Headphones Sports Earphones HiFi Sound Quality Waterproof TWS Headset
Affliate products $3.33