Inaelezwa kuwa klabu ya Simba imefikia makubaliano ya Kimaandishi na kocha wa singida black stars Miguel Gamondi kama Kocha Mkuu wa @simbasctanzania ..
Gamondi kwa sasa anafanya utaratibu wa kumalizana na @singidablackstars ili baada ya michuano ya AFCON kumalizika moja kwa moja atajiunga na @simbasctanzania na tayari Gamondi amewaeleza baadhi ya wachezaji wa Simba waliopo Timu ya Taifa .
Lakini pia Mchambuzi @hansrafael14 amesema kuwa baada ya kuondoka kwa Fadlu Simba walikuwa katika hatua za Mwisho kumpata Gamondi na kwa bahati mbaya dili hilo likavuja kabla ya kusainiā¦
Mwigulu NchembaāUmaskini Nimeuishi Miaka 32,Nakuja na Fekeo na Ratoā
