
Inaelezwa kuwa klabu ya Simba imefikia makubaliano ya Kimaandishi na kocha wa singida black stars Miguel Gamondi kama Kocha Mkuu wa @simbasctanzania ..
Gamondi kwa sasa anafanya utaratibu wa kumalizana na @singidablackstars ili baada ya michuano ya AFCON kumalizika moja kwa moja atajiunga na @simbasctanzania na tayari Gamondi amewaeleza baadhi ya wachezaji wa Simba waliopo Timu ya Taifa .
Lakini pia Mchambuzi @hansrafael14 amesema kuwa baada ya kuondoka kwa Fadlu Simba walikuwa katika hatua za Mwisho kumpata Gamondi na kwa bahati mbaya dili hilo likavuja kabla ya kusaini…
Mwigulu Nchemba“Umaskini Nimeuishi Miaka 32,Nakuja na Fekeo na Rato”






