January Makamba Afunguka Kuachwa Jina Lake Mbio za Ubunge
Mbunge wa Bumbuli anayemaliza muda wake na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM (NEC), January Makamba, amesema amekubaliana na uamuzi wa Kamati Kuu ya CCM wa kuondoa jina lake katika mchakato wa kuwania tena ubunge wa Jimbo la Bumbuli.
Makamba ametoa kauli hiyo siku chache baada ya Kamati Kuu ya CCM kutangaza majina ya wagombea ubunge kwa majimbo mbalimbali nchini, ambapo jina lake halikuwemo katika orodha hiyo ya awali.
“Kwenye CCM, dhana ya ‘kukatwa’ haipo. Ni aidha umependekezwa au umeteuliwa. ‘Kukatwa’ maana yake ni kwamba kuna nafasi unayostahili ambayo umeenguliwa, jambo ambalo si sahihi katika mfumo wetu,” alisema January Makamba.
“Wakati wa kuomba nafasi hizi, wote tunakuwa sawa – hakuna anayestahili zaidi ya mwingine. Kwa hiyo, hakuna dhana ya kukatwa. Ni aidha umependekezwa au hukupendekezwa; umeteuliwa au hukuteuliwa. Sisi hatukuteuliwa,” aliongeza Makamba.

Recommended Products
-
2025 Summer Rapper Feid Ferxxo Men’s Cotton Fashion Hip-hop T-shirt Casual and Comfortable Short-sleeved T-shirt Street Wear
Affliate products $22.00 -
3 IN 1 Magnetic Folding Wireless Charger Station For IPhone Transparent Fast Charging For IWatch And Airpods
Affliate products -
Grandpa Of Love hoodies Human French Letters Dad Papa Papy Gift Men Clothing hoodies
Affliate products $22.00 -
Sale!
Lenovo D18 Drone 8K Aerial HD Dual-Camera Intelligent Obstacle Avoidance Brushless Power 5G WIFI Screen Remote Control GPS Drone
Affliate products Original price was: $7.99.$7.89Current price is: $7.89. -
Mini Portable Face Cordless Shavers Rechargeable USB Electric Shaver Wet & Dry Painless Small Size Machine Shaving For Men
Affliate products $44.00 -
New Original T75 Bone Conduction Wireless Bluetooth 5.3 Headphones Sports Earphones HiFi Sound Quality Waterproof TWS Headset
Affliate products $3.33






